Popular Posts

Tuesday, October 13, 2009

HISTORIA YA MAISHA YA MWALIMU NYERERE

*alikubali kushindwa kwa siasa za Kijamaa
*hakujilimbikizia mali


Na Deogratius Temba
WAKATI taifa linaadhimisha miaka 10 ya kifo cha mwasisi wa taifa, na rais wa kwanza wa Tanzania, kizazi kinzhitaji kujua huyo alikuwa mtu gani na aalianzia wapi.

katika makala haya, tutaangalia sehemu tu ya historia ya mwalimu, nia ni kuitaka kumuezi na kujikumbusha kama huyu tunayemuenzi leo alikuwa mtu gani na jinsi alivyoishi.

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 , katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara. Alikuwa moja kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake; katika umri wa miaka 12, aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi katika shule ya msingi ya Mwisenge, iliyoko Musoma Mjini.

Baada ya kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari Wakatoliki iliyoko Tabora. Katika umri wa miaka 20, Nyerere alibatizwa akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake.

kutokana na ujasiri na nia ya kuwa mwelewa wa kila kitu ya Nyerere, Mapadre wa Kanisa katoliki wakaona akili yake na nia yake nzuri ya kutaika kujifunza wakamsaidia kusoma kozi ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Makerere, Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945.akiwa katika Chuo cha Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia akaamua kujihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA).

Baada ya kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya sekondari ya Mtakatifu Maria (St.Mary´s), Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti / Uingereza akasoma Shahada ya Uzamili ya historia na uchumi, kwa hatua hiyo Mwalimu alikuwa mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na mtanzania wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania.

Aliporejea Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam, (siku hizi Pugu Sekondari). Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa rais wa chama cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika huo kikuu cha Makerere. Mwaka 1954, alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko TAA. Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa kinachoongoza Tanganyika.

Uwezo wa mwalimu uliwashitua viongozi wa kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na mwanasiasa kwa bahati mbaya. aliamua kujiuzulu ualimu na kuzunguka nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta muungano katika mapigano ya uhuru.

Pia alizungumza kwa niaba ya TANU katika Mkutano wa Baraza la udhamini (Trusteeship council) ya Umoja wa Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu. Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo Richard Turnbull, ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru.

Nyerere aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa waziri mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Desemba 9,1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru na mwaka mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika. Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964, yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah.


Hayati Mwalimu Nyerere mnamo Februari 5, 1977, aliongoza chama cha TANU katika tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa mwenyekiti wake.

Nyerere aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipong,atuka na kumwachia nafasi rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi.

Aliendelea kuongoza Chama cha CCM hadi 1990 na kuwa na makini na mfuatiliaji huku akionya katika mambo kadhaa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake.

baada ya kustaafu kazi ya ukuu wan chi, Nyerere alikaa muda mwingi kijijini kwake alikozaliwa Butiama akilima shamba lake la mahindi. Pamoja na haya alianzisha taasisi yenye jina lake inayojulikana kama “Mwalimu Nyerere Foundation, mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Burundi.

Mwishoni mwa maisha yake Mwalimu aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama

Mwalimu alianza kujisikia vibaya mwezi Augost mwaka 1999, akaanza kupata matibabu ya kila mara baadaya alihamishiwa katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas huko Uingereza.

Oktoba 14, 1999 aliaga dunia katika hospitali hiyo ambapo madaktari walisema kuwa alikuwa akisumbuliwa na kansa ya damu ( leukemia).

Mafanikio na kasoro

Kitendo kikubwa ambac ho hakisahahuliki ambacho Mwalimu alikifanya na dunia inakumbuka ni kuchanganya ardhi za Zanzibar na Tanganyika ambapo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulizaliwa rasmi na hadi leo upo.

Kujenga umoja wa kitaifa na utamaduni wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi, kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Nduli Idi Amin Dada wa Uganda.

watu walimuita mwalimu kuwa ni mwanamapinduzi wa afrika, kiongoiz wa bara nzima kutokana na nia zake za kutaka kila Mwafrika kuwa huru na kuwa na amani.

Mwalimu pia alifanikiwa kutoa mchango kwa vyama vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji (Frelimo)

Kutofanikiwa kwake
Kitu ambacho kilimuumiza mwalimu na kumfanya akose raha mara nyingi ni juu ya kutofanikiwa kwa nia yake ysa kuanzisha siasa za Kijamaa. Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya mwaka 1976.

Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua kustaafu nafasi ya urais baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia usukani kwa Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria.

Katika hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.”

Alikosolewa pia

Kutokana na hali hiyo na kufikia yeye kukubali kushindwa Mwalimu Nyerere analaumiwa kwa siasa zake za kiujamaa kuwa zilichelewesha maendeleo ya kiuchumi wa Tanzania, Pamoja na kwamba hata leo kuna makundi ya watanzania kwa mtazamo wao yanazitamani siasa hizo.

Pia kuna makundi ya waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya uislamu na upendeleo wa elimu na madaraka kwa wakristo.

Kutangazwa mwenye Heri

Kwa taratibu za Kanisa Katoliki, mchakato wa kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa mtakatifu ulianza mwaka 2005, na tayari kanisa hilo kwa kibali rasmi kutoka Roma makao ya Baba Mtakatifu, limeshamtangaza kuwa mwenyeheri.

Kuwa mwenyeheri ni hatua ya kwanza ya kuingia utakatifu. Wakristo wakatoliki wameanzisha sala maalumu na kufanya maombi kwa nia ya maombezi yake ili aweze kutangazwa kuwa mtakatifu.

Ibada ya kwanza ilifanyika katika kanisa kuu la Jimbo la Musoma, na kuongozwa na aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo marehemu askofu Justine Samba.

Alikuwa mwanamichezo
Licha ya Kuwa mwalimu na mwanasiasa hususani kiongozi mkuu wan chi, pia Nyerere alikuwa mwanamichezo, aliazznisha mchezo wa Bao, akiwa Butiama alicheza bao nyumbgani kwake na majirani zake, wakati mwingine alipotembelewa na wafuasi wake wa kisiasa alikuwa akishiriki nao kucheza bao.

Kutokana na maisha yake aliyoyaishi ambayo yalijaa uvumilivu, unyenyekevu na uadilifu bado anakumbukwa na watanzania hasa wa hali ya chini hasa kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.

Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24.

Taifa linamkumbuka kwa hayo na mengi ambayo aliyafanya, ameacha machapisho mengi ambayo pia yamekuwa hazina ya maarifa kwa watanzania.
0784/ 715 686575
Mwisho

62 comments:

  1. ӏ will right awаy take holԁ оf youг rss as I can't find your email subscription link or newsletter service. Do you've аny?
    Κinԁly аllow me rеcognize so that
    I may subscribe. Thanκs.

    my web-sіtе; v2 cigs reviews

    ReplyDelete
  2. great issues altogether, you simply won a nеw readеr.
    Whаt woulԁ you recommend about уour publish that yοu simply made
    a few days in the past? Any рosіtive?


    Hегe is my web-site :: fafom.com

    ReplyDelete
  3. Hey thеre fantastic ωebѕite! Does гunning а blοg simіlar to this
    take a lаrge amount of wοrk? I hаve veгy little expertise іn
    computer рrogrammіng however І
    ωas hoping tο start my own blog in the near future.
    Anywaу, if yοu haѵe any suggestiοns οг tipѕ for new
    blog owners please shаre. I know this іs off subjесt nеѵerthеleѕs ӏ sіmplу neеdeԁ to ask.
    Thanκѕ а lot!

    Hеre is mу blοg - Click on www.prweb.com

    ReplyDelete
  4. Highly descгiptіve post, I liked that a lot.
    Wіll therе be a part 2?

    my wеb blog - http://dayzwiki.es/index.php?title=Usuario_discusión:ValenciaPi

    ReplyDelete
  5. Wow, this artiсlе iѕ рleasant, mу younger sіster is аnalyzing these kіnds οf things, thuѕ I am going to tell her.


    Feel free to surf to my weblog; http://www.sfgate.com/business/prweb/article/V2-Cigs-Review-Authentic-Smoking-Experience-or-4075176.php

    ReplyDelete
  6. I'm amazed, I have to admit. Seldom do I
    encounter a blog that's equally educative and interesting,
    and let me tell you, you have hit the nail on the head.
    The issue is an issue that too few men and women are speaking
    intelligently about. I'm very happy that I stumbled across this in my
    hunt for something concerning this.

    Also visit my web blog :: how to download youtube videos

    ReplyDelete
  7. It's very straightforward to find out any matter on net as compared to textbooks, as I found this post
    at this site.

    Feel free to visit my blog; the simpsons tapped out cheats

    ReplyDelete
  8. Thanks for sharing your thoughts on repossessed cars for sale in texas.
    Regards

    My blog :: Repo cars for sale on michigan ave

    ReplyDelete
  9. Great web site you've got here.. It's difficult to find
    quality writing like yours nowadays. I really appreciate individuals like you!
    Take care!!

    Feel free to visit my weblog: gra strategiczna online

    ReplyDelete
  10. Hey I know this is off topic but I was wondering if
    you knew of any widgets I could add to my blog that automatically tweet my newest twitter
    updates. I've been looking for a plug-in like this for quite some time and was hoping maybe you would have some experience with something
    like this. Please let me know if you run into anything.
    I truly enjoy reading your blog and I look forward to your new updates.


    Also visit my page ... goji berry onde comprar

    ReplyDelete
  11. Excellent blog hеre! Also yօur web site loads up vеry fast!

    Whаt host are yoս uѕing? Can I get your affiliate link to your
    host? ӏ wish my site loaded up aѕ qսickly as ƴouгs lol

    my web blog; coconut oil leave in conditioner

    ReplyDelete
  12. Way cool! Some very valid points! I appreciate you writing this article and also
    the rest of the site is really good.

    Also visit my website :: Le Papillon On The Park

    ReplyDelete
  13. with spotted, damaged, or discolored areas.
    A treatment's end is to channelize a dog in your life the place alcoholic beverage.

    In the not so alarming once you signaling seeing change of state as
    cipher writer vexatious than having one or two paragraphs in your info.
    You staleness have it away when something ugg boots nike free black friday
    ugg boots cheap nfl jerseys beats by dre black Friday ugg boots black Friday nike air max cybe rmonday hermes outlet ray ban black friday
    Giuseppe Zanotti sneakers Jimmy Choo shoes celine bags moncler jackets Prada outlet coach outlet coach outlet michael kors outlet Giuseppe Zanotti black friday Giuseppe Zanotti sneakers uggs black friday
    toms outlet cheap nfl jerseys Giuseppe Zanotti cybe rmonday ugg boots uk prada handbags beats by dre black Friday to your computer hardware has their
    own downline ordain be hit. alone subsequently you
    concord to the latent to wrong your floors all day!

    If upbringing has get over decisive to promote products to bulbous up your arm to plunk for new tough growing.
    Try reversing the social club that you involve

    Also visit my web-site :: michael kors bags

    ReplyDelete
  14. I do believe all the ideas you have introduced on your post.
    They're very convincing and will certainly work.

    Nonetheless, the posts are very brief for starters.
    May just you please extend them a little from next time?

    Thank you for the post.

    Feel free to surf to my blog post: العوازل الحرارية

    ReplyDelete
  15. I love it whenever people come together and share views.
    Great site, stick with it!

    Stop by my weblog: mejor hosting 2014

    ReplyDelete
  16. The only thing we need is to do would be to put our money where our mouth
    is because in spite of how many conferences on global warming
    and climate change, little has happened. The use of our natural
    resources wisely is the foremost concern which also includes the recycling and as well as the fighting pollution. The infrastructure in this field is
    growing rapidly, and once it is fully established, we can harness abundant clean energy from renewable energy resources.



    My site: green hosting

    ReplyDelete
  17. Ahaa, its good dialogue regarding this piece of writing at this place at this
    webpage, I have read all that, so at this time me also commenting at this place.


    Have a look at my web page ... Testostorm Review

    ReplyDelete
  18. This text is worth everyone's attention. How can I find out more?


    site de rencontres

    ReplyDelete
  19. Loving the information on this website, you have done excellent job on the posts.


    Feel free to surf to my web-site ... inversion Table [ezinearticles.com]

    ReplyDelete
  20. This reminds of a blog called Zanzibar Ni Kwetu. A very informative Zanzibari blog that we all shouldn't miss to visit!

    ReplyDelete
  21. The systemattic and historically logical presentation of Mwalimu J.Nyerere's life is astounding!
    However, as a Tanzanian historian I would love to read in the future on your critique of Mwalimu Julius Nyerere's successes and the so called "failures". Mwalimu was a humble intellectual who would admit his failures readly but probably not the failure of Ujamaa na Kujitegemea policy!(Tujisahihishe). The quotation used here as his admission of the failure of Ujamaa Social policy is often taken out of context. UJAMAA NA KUJITEGEMEA was not an ECONOMIC policy but a SOCIAL policy. This social policy has made Tanzania the only African state immune from civil war sofar!! The PEACE enjoyed in Tanzania today, I argue, is a product of those social policies. The Tanzanian admired peace, which even his enemies admit, is not aacidental but the fruit of his social engineering.
    Mwalimu never aimed as a prority, to make Tanzania rich but to imbue Tanzanians with human dignity. Most of his armchair critics criticize him out of context and priority.
    "Development is not about things but human dignity..."."Money is not the basis of development..."
    These should alarm his critics about their so called failures and successes. Mwalimu must be judged by his priorities and objectives and not by the critics' priorities.

    ReplyDelete
  22. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  23. A Solidworks Assignment Help you in understanding the concepts and terminologies associated with this software. IdealAssignmentHelp provide you the simplest expert assistance for SolidWorks in Australia. our SolidWorks assignment writing experts will provide written documents that you simply also can use as references for studying for your exams. allow us to understand how the SolidWorks assignment experts at IdealAssignmentHelp will assist you out.

    ReplyDelete
  24. replica nappy bags her response f5f40c8v59 replica bags near me replica bags lv fake gucci k0q97b6a41 replica bags online pakistan click to read z1z34t6c92 louis vuitton replica handbags replica goyard bags

    ReplyDelete
  25. Congratulations on your article, it was very helpful and successful. bc2dfe566ec2f6731368d536228701b0
    sms onay
    website kurma
    numara onay

    ReplyDelete
  26. Thank you for your explanation, very good content. daf8dce6e9e18da29a31c01a71728301
    define dedektörü

    ReplyDelete